Saturday, 19 August 2017

Machampion Terence Crawford (USA) na Julius Indongo (NAMIBIA) ulingoni usiku huu mshindi atajizolea mikanda 4 ya Super lightweight World Title.

Terence Allan Crawford bingwa wa 
WBC World Super Lightweight Title na
WBO World Super Lightweight Title ambae ajapoteza  wala kudroo mchezo wowote  katika michezo yake  yote 31 atapanda ulingoni usiku huu kupambana na Julius Indongo bingwa wa
IBF World Super Lightweight Title
na
WBA Super World Super Lightweight Title 
bingwa mwenye rekodi ya kutokupoteza mchezo hata mmoja kati ya yote aliyocheze ambayo ni michezo 22...

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home