Monday, 28 August 2017

Conor McGregor Kafanya party kubwa baada ya kubondwa na Mayweather Jr

Conor McGregor alifanya party kubwa baada ya kichapo kikali kutoka kwa Floyd Money Mayweather. Pia Conor McGregor alisema kuwa refa alichukua maamuzi ya haraka kumaliza pambano yeye anadai kuwa alikuwa na uwezo wa kuenderea kupambana na Floyd Money Mayweather.

Picha za party :-

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home