Conor McGregor Kafanya party kubwa baada ya kubondwa na Mayweather Jr
Conor McGregor alifanya party kubwa baada ya kichapo kikali kutoka kwa Floyd Money Mayweather. Pia Conor McGregor alisema kuwa refa alichukua maamuzi ya haraka kumaliza pambano yeye anadai kuwa alikuwa na uwezo wa kuenderea kupambana na Floyd Money Mayweather.
Picha za party :-
Labels: By Xoxher Hero
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home