Wednesday, 13 September 2017

Wilder Vs "King Kong" November 4

Bingwa wa WBC world heavyweight title ,Mmarekani  Deontay Wilder "Bronzer bomber" atapanda ulingoni kumkabili bingwa kutoka Cuba ,  Luis Ortiz "King kong" katika pambano la uzito wa juu la raundi kumi na mbili litakalopigwa tarehe 4 November ,2017 katika ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn, New York, USA

Pambano litakuwa la kugombea ubingwa wa hii mkanda wa WBC World Heavyweight Title ambao Wilder atakuwa anautetea.

NB: Mabondia wote hawajawai kupoteza mchezo wowote (undefeated)

Hash tag; #wilderortiz

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home