TZ - SCENE
Thanks and welcome again TZ-SCENE
Wednesday, 30 August 2017
Monday, 28 August 2017
Conor McGregor Kafanya party kubwa baada ya kubondwa na Mayweather Jr
Conor McGregor alifanya party kubwa baada ya kichapo kikali kutoka kwa Floyd Money Mayweather. Pia Conor McGregor alisema kuwa refa alichukua maamuzi ya haraka kumaliza pambano yeye anadai kuwa alikuwa na uwezo wa kuenderea kupambana na Floyd Money Mayweather.
Picha za party :-
Labels: By Xoxher Hero
Sunday, 27 August 2017
McGregor alimpiga Mayweather Jr ngumi nyingi kuliko ngumi alizopigwa Mayweather na Pacquiao
Conor McGregor alimpiga bondia anae sifika kwa uwezo mkubwa kujilinda zaidi duniani Mayweather Jr jumla ya ngumi 117. Idadi hii ya ngumi ni ngumi 30 zaidi ya ngumi alizopigwa Mayweather Jr na Mphilipino Manny Pacquiao katika pambano lao na pia idadi hii ya ngumi ni ngumi 6 pungufu ya ngumi alizopigwa Mayweather Jr na Mmexico anae tarajiwa kupanda ulingoni mwezi ujao wa tisa kumkabiri "GGG" Saul Alvarez "Canelo" katika pambano la 2015.
Labels: By Xoxher Hero
Saturday, 26 August 2017
Madaktari watakao husika kwenye money fight leo "Floyd Vs Conor"
Hawa ndio madaktari watakao kuwepo kwenya money fight leo kati ya "Floyd Mayweather Jr Vs Conor McGregor"
First Doctor,
Dr. Anthony Ruggeroli,
Huyu ni daktari alie bobea kwenye mambo yote yanayo husu maumivu "Pain Specialist"
Second Doctor,
Dr. Albert Capanna,
Huyu ni daktari alie bobea kwenye mambo yote yanayo husu mfumo wa fahamu na neva "Neurosurgery Specialist"
Third Doctor,
Dr. Jay Coates
Huyu ni daktari alie bobea kwenye mambo yote yanayo husu upasuaji "Surgery Specialist"
"Haya ndio maisha ya professional boxing, wazungu hawana mambo ya ubabaishaji"
Follow me on Instagram
IG:@xoxher_singeli
Labels: By Xoxher Hero
Mifumo atakayotumia Morinho kuwafit Lukaku na Kadabra kikosi cha kwanza.
Mifumo atakayotumia Morinho kuwafit Lukaku na Kadabra kikosi cha kwanza hii apa:-
Plan A
3-5-2 formation.
Plan B
4-3-1-2 formation.
Plan C
4-4-2 formation.
Labels: By Xoxher Hero
R.I.P. Sonny Landham (1941 – 2017)
Actor Sonny Landham, best known for his role as Native American tracker Billy Sole in 1987’s action classic Predator, has passed away from congestive heart failure, aged 76.
Landham began his career working in X-rated movies in the 1970s, before making his mainstream film debut in Walter Hill’s The Warriors in 1979.
In addition to Predator, Landham’s big screen credits includes roles in the likes of Southern Comfort, 48 Hrs., Action Jackson, Lock Up and Best of the Best 2, as well as guest appearances in the TV shows The A-Team, The Fall Guy and Miami Vice.
Labels: By Xoxher Hero
Friday, 25 August 2017
Angalia muonekano wa Mkanda wa mechi ya Floyd vs Conor
Huu ndio muonekano wa mkanda maarumu wa mechi kati ya Mayweather vs McGregor , mkanda huu unaitwa "WBC MONEY BELT"
Labels: By Xoxher Hero
T-Mobile Arena ukumbi utakaotumika kwenye pambano la Mayweather vs McGregor
T-Mobile Arena, ndio ukumbi utakaotumika kwenye mechi kati ya Mayweather vs McGregor..
T-Mobile Arena, unapatikana katika jimbo la Las Vegas, Nevada, USA
Labels: By Xoxher Hero