MARQUINHOS
Marcos Aoás Corrêa anayejulikana kama Marquinhos aliyezaliwa Mei 14, 1994, ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza kama mlinzi katika klabu ya Ligue 1 Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Brazil. Hasa anacheza kama mlizi wa kati pia anaweza kucheza kama mlinzi wa kulia.
Labels: By Xoxher Hero
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home